• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KAMATI YA SIASA WILAYA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO CHATO

Posted on: January 11th, 2023

KAMATI YA SIASA WILAYA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI NA  USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO CHATO

Na Mwandishi wetu – Chato

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Chato wameupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Chato kwa kutekeleza na kusimamia vizuri Mradi wa mbalimbali ya Maendeo ikiwa ni pamoja na mradi wa ujenzi vyumba vya Madarasa kwa ubora na kiwango cha hali ya juu.


Akitoa pongezi hizo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Barnabas Nyelembi  alipokuwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ambavyo Ilani ya Chama cha Mapinduzi 2020-2025 inavyosema katika nyanja za Elimu na Afya.


Amezitaka Kata zote kuhakikisha zinatekeleza miradi kwa ubora na viwango na ubora, ametoa mfano Mradi huo wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa pamoja na thamani zake anatekelezwa kote nchini Tanzania na sisi kama wilaya tumepokea Zaidi ya Bilioni 1.7 fedha ambazo Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametupatia sisi wana Chato jambo ambalo nasi tunatakiwa kuonyesha kweli Mhe Rais pamoja na Serikali yake haikukosea kutupatia fedha hizo kwa kuhakikisha tunatekeleza miradi hii kwa kiwango kila mmoja katika eneo lake.


Sasa itakuwa ni aibu kuona sehemu moja wametekeleza kwa kiwango na wengine wanasua suasua mfano Kata ya Bwanga mradi wa Ujenzi wa Madarasa umetekelezwa kwa kiwango cha hali ya juu sana nahata ukitizama jinsi madarasa yalivyojengwa kweli unaridhika kwani yanavutia sana.


Mhe. Nyelembi amesisitiza kwa kusema kuwa, ‘ifike mahala sasa kila mmoja katika eneo lake anapopata mradi wa utekelezaji basi ahakikishe anasimamia kwa weledi ili sote kwa umoja wetu tuweze kutekeleza kwa kiwango cha hali ya juu kama maelekezo ya Serikali na Chama yanavyotaka’


Wajumbe wa kamati ya Sisa wilaya wamewataka watendaji wa vijiji pamoja kata ambao miradi ya maendeleo katika maeneo bado haijakamilika kukaa pamoja na kujitathmini kwanini miradi katika maeneo yao haijakamilika kwa wakati kama maelekezo ya Serikali yanavyotaka na kuacha tabia ya kubishana na kutupiana mpira bali kila mmoja atimize wajibu wake.


Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo amewataka watendaji wa Kata na vijiji kushirikiana na jamii kikamilifu katika kutekeleza miradi mbalimbali ya Serikali inapokuwa inatekelezwa katika maeneo yao, kwani kwa kufanya hivyo basi jamii itajiona kuwa sehemu ya mradi na hivyo kuwa walinzi na wasimamizi wazuri katika mradi husika.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.