• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KAMATI YA UELIMISHAJI NA UHAMASISHAJI KATIKA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MLIPUKO NA MAJANGA YA AFYA NGAZI YA WILAYA YAJENGEWA UWEZO CHATO

Posted on: April 17th, 2023

Akitoa mafunzo hayo Bi. Magdalena Dinawi kutoka Wizara ya Afya kitengo cha Kinga, Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma, kwa wajumbe wa kikao hicho wilaya ya Chato mkoani Geita amesisitiza uwajibikaji kwa kila mjumbe wa kamati kwa kuhakikisha kila mmoja anatimiza wajibu wake.


Aidha Bi. Magdalena ameongeza kwa kusema ili tuwe salama basi kwa umoja wetu ni lazima  kila mmoja alinde afya yake na ya mwenzake ili tuhakikishe sote tunaishi mahala salama.


Mkuu wa wilaya Mhe. Deusdedith J. Katwale aliyewakilishwa na Katibu Tawala wilaya ya Chato   Ndg. Elias Makory katika kikao hicho ameomba viongozi wote kuanzia ngazi ya jamii hamna budi kwenda kushirikiana kila mmoja kwa nafasi yake uwe kiongozi wa Dini, mtoa huduma za tiba asili au tiba mbadala, muuguzi wa Afya kwa umoja wenu narudia tena nendeni mkashirikiane na jamii katika mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko na majanga ya Afya ndani ya wilaya yetu na taifa kwa ujumla.


Kwa upande wa Mganga Mkuu wa wilaya ya Chato Dr. Eugen amewaomba wajumbe wa kamati hiyo kwenda kua mabalozi wazuri katika jamii juu ya kuchukua tahadhali za kujikinga na magonjwa haya ya mlipuko kwani sisi kama chato hatupo kisiwani kwamba tumejifungia wenyewe bali tunaishi na watu mbalimbali ambao wanatuzunguka toka kila kona ndani na nje ya nchi yetu, hivyo hatuna sababu ya kuhakikisha kila mmoja wetu anachukua tahadhali katika kuhakikisha Chato inakuwa mahala salama pa kuishi bila magonjwa ya mlipuko kama Kipindupindu, Kovid 19 na Maburg ambayo iligundulika huko Kagera mapema mwanzoni mwa mwaka huu.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo amesisitiza wataalamu wa Afya kuendelea kutoa Elimu juu ya madhala yatokanayo na magonjwa ya mlipuko hasa katika maeneo yote tunayotolea huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.