• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 11th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri siku ya Jumanne Juni 11 2019 ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Akikagua miradi hiyo Mkuu wa Wilaya ameseisitiza wataalamu wa ujenzi kusimamia kwa ukaribu shughuli za ujenzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri hususan miradi inayosimamiwa na kamati za ujenzi za vijiji kupitia mfumo wa ‘force account’.

Mkuu wa Wilaya pamoja na wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama pia wamesisitiza vifaa vinavyotumika katika majengo ya serikali viwe vya ubora unaokubalika ili majengo ya serikali yaweze kudumu.

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri akielekeza jambo kuhusiana na ujenzi wa jingo la OPD kwenye kituo cha afya cha Muganza.

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya wakikagua majengo ya kituo cha afya cha Muganza ambacho kinajengwa kwa gharama ya shilingi milioni 400 kutoka Ofisi ya Rais- TAMISEMI.

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya wakikagua ujenzi wa madarasa matatu mapya  na bawalo la shule ya sekondari Bwina ambayo mwezi Julai 2019 inatarajiwa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano.

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya wakikagua ujenzi wa kituo cha afya cha Bwina ambao utagharimu shilingi milioni 500 hadi kukamilika kwake.

Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua ujenzi wa kituo kipya cha mabasi cha Chato kinachojengwa katika kijiji cha Kahumo kata ya Muungano.

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama walifika pia katika mradi wa maji wa Imalabupina Ichwankima, mradi unatogemewa kuhudumia vijiji 11 vya kata za Nyamirembe, Ichwankima, Kachwamba na Kasenga

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.