• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATAKA TIJA IONEKANE KWENYE KILIMO CHA PAMBA

Posted on: June 15th, 2019

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe amewaagiza wataalamu wa kilimo Wilayani Chato kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika zoezi  ununuzi wa Pamba linaloanza leo ili wakulima wauze Pamba bila ya kuwepo na malalamiko.

Mhandisi Mtigumwe ametoa agizo hilo leo wakati akiongea na wadau wa Pamba wilayani Hapa, kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa wa Halmashauri.

Amesema kwa  msimu huu kwenye kilimo cha zao la Pamba kwa nchi nzima ilitarajiwa kuvuna Pamba tani zisizopungua 450,000 lakini kutokana na hali ya hewa kutokuwa nzuri  kutaathiri kufikia malengo hayo hivyo amewataka wataalamu hao kujikitika  kwenye msimu ujao kwa kuanza maandalizi mapema Zaidi.

“kwa hiyo tunaweza tusivune pamba kama iliyotarajiwa…, tuanze maandalizi mapema ya msimu ujao, tukiongeza tija kama tunavyotarajia, mkulima mmoja avune pamba kilo 900 kwenye ekari moja tutafikia malengo yetu kwa msimu ujao, tija ndiyo jambo mhimu na hili nalisisiza” alisema Mhandisi Mtigumwe.

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri amewataka Maafisa Ugani katika kipindi hiki cha ununuzi wa Pamba  kuhakikisha  wanakuwepo kwenye vituo hivyo na watoe taarifa za kila siku kuhusu ununuzi wa Pamba sambamba na  taarifa za wakulima ambao hawajalipwa fedha za Pamba kwa wakati.

Wataalamu wa kilimo wamesema zao la Pamba limekua likiathirika  kwa kiasi kikubwa kutokana na changamoto kadhaa ikiwemo wakulima kutokuzingatia ushauri wa walaalmu kwenye matumizi ya viuadudu na njia bora za kilimo.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtugumwe akiongea na wadau wa Pamba (hawapo pichani) kwenye kikao cha siku moja kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri kwa ajili ya kujadili changamoto kuelekea kwenye msimu wa ununuzi wa zao Pamba mwaka 2019 na maandalizi ya Msimu ujao wa kilimo

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri akiongea na wadau wa Pamba

Baadhi ya washiriki wa kikao hicho wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo (hayupo pichani)

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.