• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KATIKA KUSHEHEREKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MANDELA WANAJESHI KUTOKA AFRIKA YA KUSINI WATOA MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI KATIKA SHULE YA SEKONDARI RUBAMBANGWE

Posted on: July 19th, 2025

Wanajeshi kutoka Afrika Kusini wamesheherekea Siku hiyo ya Kuzaliwa Nelson Mandela kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kujifunza na kujifunzia.

Vifaa vilivyotolewa ni Boxi za Karatasi, Matanki ya Maji, Viti vya plastic, Vitanda vya Chuma, Magodoro, Mabranketi, Mashuka, Mifuko ya Simenti, Ndoo za rangi, na vifaa vingine.

Akiongea Brigedia jenerali Modley kutoka South Africa ambaye ni Mkuu wa kikosi hicho cha wanajeshi kutokea South Africa chini ya mwamvuli ya SIMSADC amesema wao kama Taifa wanasheherekea siku hiyo muhimu ikiwa ni kuyaenzi mambo yote aliyoyafanya mwasisi wa Taifa hilo katika kupigania Uhuru wa nchi hiyo.

Wanajeshi hao wamekuepo wilayani Chato katika kituo chao cha mpito wakitokea wakitokea Jamhuri ya Demokrasia ya Congo ambapo walikuwa wameambatana na majeshi kutoka nchi za Tanzania, Malawi na Afrika Kusini wakielekea katika nchi zao baada ya kumaliza kazi ya kulinda Amani nchini Congo.

Akizunguza katika Hafla hiyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato Ndg. Elimkwasi amewashukuru sana wanajeshi hao kwa kuendelea kudumisha mahusiano mazuri yaliyoasisiwa na watangulizi wao katika kupigania Uhuru wa nchi za Afrika ambao ni Hayati Julius Nyerere pamoja na Nelson Mandela hivyo kitendo kilichofanyika leo katika Shule kimeacha alama kwa vizazi na kwa Vijana hawa wadogo wanaosoma katika Shule hii ambao kimsingi kamwe hawatakuja sahau katika maisha yao yote.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule hiyo Bi. Salome amewashukuru tena wanajeshi hao kutoka Afrika Kusini huku akiwahakikishia vifaa hivyo vilivyotolewa vitatumika kwa maksudi yaliyokusudiwa tu na si vinginevyo kwani vimekuwa msaada mkubwa sana katika Shule hiyo huku akisema, sisi kama Shule hatuna cha kuwalipa isipokuwa tunawaahidi tutawaombea kwa Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki na kuwapigania katika shughuli zenu za kila siku mtakapo rudi nchini kwenu.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA HUDUMA YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA VIKUNDI

    October 01, 2025
  • DC BURA AFUNGUA ZAHANATI YA NYARUTUTU

    September 30, 2025
  • MHE. BURA AAGIZA UWEZESHAJI KWA WAJASIRIAMALI ILI KUSHINDANA KIMATAIFA

    September 25, 2025
  • KAMISHNA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI - CHATO

    September 22, 2025
  • View All

Video

MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI CHATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.