• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KILA KAYA IPULIZIWE DAWA YA UKOKO-DC

Posted on: November 2nd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri (mwenye kofia ngumu ya njano)akipokea maelekezo ya namna ya kutumia pampu ya kunyuzia dawa ya ukoko majumbani kutoka kwa wanyuziaji waliopata mafunzo

Mkuu wa Wilaya ya Chato pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Hlamshauri ya Wilaya ya Chato Eliurd Mwaiteleke (mwenye kofia ngumu nyekundu) wakijiandaa kunyunyuzia nyumba ya mfano kama ishara ya uzinduzi


Mkuu wa Wilaya ya Chato akinyunyuzia dawa ya ukoko kwenye moja ya nyumba ya mkazi wa kitongoji cha Kasenda kama ishara ya uzinduzi wa zoezi la unyuziaji wa dawa ya ukoko mwaka 2018


Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri amesema kila kaya ndani ya Wilaya ya Chato ni lazima ipuliziwe dawa ya ukoko ili kutokomeza ugojwa wa Maralia ambao umekuwa ukiathiri nguvu kazi ya Taifa.

Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo wakati akizindua zoezi la unyunyuziaji wa dawa ya ukoko majumbani kwa Wilaya ya Chato  ambalo limefanyika kitongoji cha Kasenda kata ya Muganza.

Mkuu wa Wilaya amesema serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa katika kununua madawa na vifaa tiba kwa ajili ya kutokomeza magonjwa mbalimbali ikiwemo malaria lakini baadhi ya wananchi  wamekuwa hawashiriki vyema kwenye vita dhidi ya maralia hususan kupitia mpango wa unyuziaji wa dawa ya ukoko majumbani kwa kutoa visingizio kadhaa.

“Watanzania tunapaswa kuishi kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni, zoezi hili la upuliziaji dawa ya ukoko ni la kisheria kwenye afya ya msingi, hivyo nitoe rai kwa wananchi kutimiza wajibu wao na kuwa tayari kunyunyuziwa dawa hizo kwani zimefanyiwa utafiti na ziko salama” alisistiza Mkuu wa Wilaya.

 Mkuu wa Wilaya pia amesema kupitia sheria  za afya ya msingi ikiwemo ya mwaka 2009 kifungu cha 30 (1-2), ambayo inamtaka kila mwananchi kushiriki katika shughuli za afya za msingi na uvunjaji wa sheria hiyo unaweza kupelekwa mahakani na kuhukimiwa kifungo cha miezi miwili au faini ya shilingi laki moja hivyo amewataka wanachi kuwajibika na kufungua nyumba ili kupuliziwa dawa hiyo.

Jumla ya kaya 119766 zinatarajiwa kufikiwa na zoezi hilo la unyunyuziaji wa dawa ya ukoko majumbani. Maambuki ya maralia kwa Wilaya ya Chato kwa sasa ni ya asilimia 15.5 na lengo la Wilaya ni kuhakikisha inafikia chini ya asilimia 10 ifikapo 2020.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.