• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA KUHITIMISHWA LEO

Posted on: August 6th, 2025

Mafunzo kwa Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata yaliyoanza Agosti 4, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari ya Ufundi Chato yamehitimishwa  rasmi leo Agosti 6, 2025 na Mgeni rasmi akiwa Bi. Maria Ndohelo ARO Jimbo la Kaskazini kwa niaba ya R.O Jimbo la Kusini na Kaskazini Chato Ndg Abel Johnson Manguya.

Mafunzo hayo yenye lengo la  maandalizi kuelekea uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba mwaka huu, yanafanywa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi kuhakikisha watendaji wa uchaguzi katika ngazi zote wanakuwa na uelewa wa kutosha kuhusu sheria, kanuni, taratibu, na3 maadili ya uchaguzi ili kuendesha zoezi kwa haki na uwazi.

Akizungumza wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo,  Bi. Maria amewapongeza  na kuwashukuru waandaaji na washiriki wote wa mafunzo hayo kwa kuhakikisha mafunzo yanakamilika vizuri na kwa umahiri ili kazi ikafanyike kwa weledi.

"Kabla ya kuanza mafunzo mlikula kiapo Cha kutunza Siri, kiapo hicho kwa mujibu wa kanuni ya 8 ya kanuni ya uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani wa mwaka 2025, ukiukwaji wa kiapo hiki kwa kuanza kutoa taarifa za Siri ambazo tume haikukupa  maelekezo ya kuzitoa maana yake utakuwa unatenda kosa la Sheria na utawajibika kwa mujibu wa sheria" amesema Bi.Maria.

Katika zoezi hilo washiriki walipata nafasi ya kuuliza maswali, kushiriki mijadala, na kujifunza kutoka kwa wakufunzi waliobobea katika sheria za uchaguzi, utatuzi wa migogoro ya uchaguzi, na mawasiliano ya kijamii.

Kwaniaba ya washiriki Bi. Zulpha Mapinda amekiri kuwa mafunzo,  kiapo na miongozo waliyopewa vitawasaidia kuendesha zoezi la uchaguzi kwa ubora na ufanisi unaotarajiwa.

Mafunzo hayo  yamehitimishwa Leo Agosti 6 ,2025 ambapo washiriki wamesisitizwa kutoa ushirikiano wa kutosha pindi watakapo kwenda  kuwafundisha wahusika wengine watakao simamia uchaguzi ili kuboresha zoezi hilo muhimu kwa Taifa letu.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.