• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MAFUNZO YA MAAFISA MIFUGO WA KANDA YA ZIWA MAGHARIBI YAHITIMISHWA CHATO

Posted on: March 29th, 2024

Mafunzo ya maafisa Ugani wa mifugo zaidi ya 60 yaliyoanza Machi 25/03/2024 yamehitimishwa rasmi leo Machi 26/03/2024 na Katibu tawala  mkoa wa Geita aliyewakilishwa na

 Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  huo Dkt. Elfas Msenya kwa kuipongeza na kuishukuru Serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuleta programu hiyo iliyowapiga msasa maafisa mifugo wa ngazi ya vijiji na kata wa mikoa ya Kanda ya ziwa Magharibi.

Dkt. Msenya amewataka maafisa mifugo kwenda kutekeleza kwa vitendo yale waliyofundishwa kwani lengo la mafunzo ni kuwajengea uwezo katika kupata maarifa mapya ya teknolojia na ujuzi ili wakafanye kazi kwa ufanisi na kujiamini zaidi huku elimu hiyo kupitia wao ikawasaidie wafugaji kufuga kibiashara.

"Ndugu watumishi maafisa Ugani wenzangu nawapongeza nanyi pia kupata fursa hii kushiriki mafunzo yaliyoandaliwa na wizara yetu pendwa ya  mifugo na Uvuvi naamini kwa siku mbili hizi mmejifunza mada mbalimbali ambazo zitakwenda kuwasaidia katika utekelezaji wa majukumu yenu ya kila siku na kuiinua Sekta ya mifugo, nawasihi mkayafanyie kazi kwa vitendo mafunzo haya na mkawabadilishe wafugaji wetu waache mazoea bali kupitia ninyi wakafuge kitalaamu waongeze uzalishaji kwa kufuata taratibu za ulishaji, matibabu pamoja na chanjo" Alisema Dkt Msenya.

Agnes Nicholaus ni mmoja kati ya washiriki wa mafunzo hayo akiwa ni Afisa mifugo kutoka kata ya Luchelele wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza amekiri kufurahishwa  na namna watoa mada walivyokuwa wakiwafafanulia na kuhakikisha washiriki wote wanapata uelewa wa pamoja ndipo wanahamia mada nyingine jambo ambalo limewaongezea utaalamu na mbinu mpya kiutendaji hivyo kwenda kufanya kazi kwa kujiamini zaidi.

"Kwakweli Sekta ya mifugo inakwenda kupata mabadiliko makubwa kupitia elimu hii, maana tumejifunza kwa uhuru sana watoa mada wamekuwa wakitusikiliza na kutujibu kwa ufasaha maswali yetu, binafsi nimepanua upeo kwenye mambo ya mifugo kama ufugaji bora  na wa kufuata kanuni za ufugaji wenye tija hivyo ninakwenda kuwapa wafugaji elimu hii, pia nimejifunza mambo mengi yanayohusu haki za mtumishi wa Umma" Alisema Agne

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.