• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MAFUNZO YA MFUMO WA TATHMINI KWA WATUMISHI YATOLEWA RASMI CHATO

Posted on: December 4th, 2023

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ndg. Musa J. Magufuli amewaomba watumishi wote walioshiriki katika mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano katika Halmashauri ya wilaya ya Chato mapema hii leo Disemba 04, 2023

Aidha katika kuhakikisha mafunzo hayo yanakuwa na tija kwa Ndg. Musa ameomba kila mtumishi kuhakikisha kila mshiriki anakuwa msikivu kwani lengo la Serikali ni kuhakikisha kila ofisi zote za Serikali zinakuwa na taarifa sahii juu ya mahitaji na uwiano wa watumishi katika Idara na Sekisheni.

Katika hatua nyingine Ndg. Musa amesisitiza uwajibikaji na utoaji wa taarifa sahihi kwa kuweka majukumu yanayopimika katika utendaji wa kazi tofauti na kufanya hivyo amesema “ sisi kama watumishi wa umma tutakuwa hatujamsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali ya Awamu ya Sita”

Katika hatua nyingine wakufunzi wa mafunzo hayo toka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ndg. Methew Nsolezi ambaye ni Afisa Utumishi na Ombeni Kasayo ambaye ni Mtakwimu wakitoa wafunzo hayo ya mfumo wa kufanya tathimini ya watumishi wametoa angalizo juu ya utoaji na uibuaji wa majukumu sahihi yanayoendana  na kitengo au idara husika kwani kazi hizo ndo msingi katika kupata idadi na uwiano sahihi ya watumishi kwa kila Halmashauri na Taasisi ya Umma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia H.Kihiyo ameishukuru Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kuandaa mafunzo hayo kwani kupitia mafunzo haya ni matumaini makubwa sasa Halmashauri zote nchini zitakwenda kuondokana na uhaba au upungufu wa watumishi kwani mfumo huu unakwenda kujibu mahitaji sahihi kutokana na kazi za Idara au kitengo pasipo upendeleo wala kujuana.

Kwa upande wa washiriki wa mafunzo hayo wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani kumekuwa na malalamiko katika ugawaji wa watumishi na hivyo kupelekea baadhi ya maeneo kuonekana kuwa na watumishi wengi kuliko maeneo mengine hasa maeneo ya pembezoni.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.