• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KUPAMBA SHEREHE YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR - CHATO

Posted on: April 21st, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Said Juma Nkumba, leo April 21, 2024 amefungua mashindano ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la Muungano CUP ikiwa ni katika kuzisaka timu zitakazo fuzu kuingia fainali na kucheza siku ya kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 2024.

Mashindano hayo yamefanyika katika uwanja wa Mazaina wilayani hapa huku washiriki wakiwa ni timu ya kijiji cha Mkuyuni dhidi ya timu ya kijiji cha Rubambangwe na kuhudhuliwa na mamia ya wananchi wakiongozwa na Mhe. Mkuu wa wilaya, Katibu tawala (W), kamati ya ulinzi na Usalama (W) pamoja na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chato.

Katika Mtanange huo mkali, timu ya Mkuyuni imeibuka kidedea baada ya kuinyuka timu ya Rubambangwe magoli 04 kwa 01 huku wafungaji wakiwa ni ; Jezi na. 06 - Peter James goli 01 na Mkuyuni wakiwa ni jezi na.09 - Salehe Hamis Magoli 03 na Jezi na. 03 -  Maneno Anthony goli 01

Mhe. Nkumba amewapongeza washiriki wote waliocheza leo kwa namna kila mmoja alivyoonesha ufundi wake uwanjani huku akiwataka waendelee na mazoezi zaidi kwa mechi zinazofuata ambapo amesisitiza kuwa  mashindano hayo ni ishara ya kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivyo kila mwananchi ashiriki kwa nafasi yake.

Kwa upande wake Afisa michezo wa halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg Abel Mataba Elias, ametoa ratiba ya ligi hiyo ya Muungano CUP kuwa 21/04/2024 wamecheza timu ya vijiji vya Mkuyuni na Rubambangwe, 22/04/2024 watacheza Muungano FC dhidi ya Chato Combine FC wakati 25/04/2024 ni fainali kati ya mshindi wa mchezo wa 01 na wa pili.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.