• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MH.BURA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

Posted on: August 19th, 2025

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Chato, Ndg. Louis P. Bura leo Agosti 19, 2025 ametembelea na kukagua njia ya Mbio za Mwenge unaotegemewa kupokelewa wilayani humo tarehe 6 September 2025 ili kujionea maandalizi yanaendeleaje.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa wilaya ameridhishwa na hatua zilizofikiwa katika maandalizi, akisisitiza umuhimu wa sherehe hizo kama alama ya Umoja, Mshikamano na Maendeleo katika Taifa letu.

Aidha, amewapongeza Wakuu wa Idara mbalimbali kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Maendeleo inayofanyika wilayani humo, huku akisisitiza kuwa hayo ni matokeo ya kuwa ushirikiano kati ya Sekta za Umma na Binafsi katika kusimamia wa miradi hiyo, ambapo  wameahidi kuendelea kutoa huduma bora na kuhakikisha maendeleo endelevu kwa wananchi wote wote na si kwa Miradi ya Mwenge bali Miradi yote inayotekelezwa ndani ya wilaya ya Chato.

Mwenge wa Uhuru, utapokelewa katika Viwanja vya Shule ya Msingi Nyakayondwa kata ya Bwanga ukitokea wilaya ya Bukombe na Utakesha Chato Mjini Viwanja vya Ma-zaina ikiwa na kauli mbiu isemayo; "Jitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa Amani na Utulivu"

Aidha Mwenge wa Uhuru utakapokuwa wilayani Chato utazindua na kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo na kuweka Mawe ya Msingi.maandalizi ya sherehe hizo yanaendelea kwa kasi, huku wananchi wakihimizwa kushiriki kwa wingi katika Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kwani ni Ishara ya uhuru na Maendeleo ya Taifa letu.

Wito umetolewa kwa wana chato wote kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya Sherehe ya Mbio za Mwenge wa Uhuru kwani ni tukio  muhimu linalo onyesha Umoja na Mshikamano, hivyo Kila mmoja anakaribishwa kushiriki na kuonyesha upendo kwa nchi yake katika tukio hili la kihistoria.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.