• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MICHE ZAIDI YA 100,000 KUPANDWA KATIKA WILAYA YA CHATO KUELEKEA KILELE CHA SHEREHE ZA UHURU DISEMBA 9

Posted on: December 6th, 2022

Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Bi. Martha Mkupasi akizungumzana wananchi wa katika eneo la shule ya Msingi Katemi alipokuwa akizindua kampeni ya Upandaji Miti ikiwa ni moja ya shughuli za kijamii katika kuelekea katika kilele cha Sherehe za Uhuru ifikapo Disemba 9 mwaka huu.


Amesema pia tutapanda miti kwa ajili ya kupambana na Mabadiriko Tabia Nchi, ‘ndugu zangu wananchi wa maeneo haya niombe kila mmoja kwa nafasi yake ashiriki katika zoezi hili la upandaji wa miti kwani kwa kufanya hivyo sote kwa pamoja tutakuwa tumeamua kupambana na athari zitokanazo na mabadiriko ya tabia nchi’


Ameongeza kwa kusema Chato hii siyo ya kukosa chakula au kuwa na upungufu wa chakula niombe kila mmoja atunze mazingira kwani ni sisi wenyewe ndio tunaoathirika baada ya kuharibu mazingira yetu.


Pia katika juma la kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Nchi yetu Mhe. Mkupasi amewaomba wananchi wote ndani na nje ya wilaya ya Chato kuendelea kujitokeza katika shughuli mbalimbali za kijamii kama ambavyo Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa sherehe ya safari hii tusheherekee katika maeneo yetu kwa kutafakari hatua tuliyofikia tangu kupata Uhuru, huku akielekeza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya Maadhimisho ya sherehe za Uhuru Kitaifa kwenda kujenga Mabweni katika shule za watoto wenye Mahitaji maalumu.


Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Chato amewaomba wananchi wa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya Kilele cha Sherehe za Uhuru hapo tarehe 9 Disemba yatakayofanyika katika ukumbi wa Shule ya Skondari Jikomboe, pamoja na kuwaalika wananchi amesema siku hiyo kutakuwa na Mdahalo kuhusu Chimbuko la Uhuru wa Nchi yetu hivyo sote tufike kujifunza na kutoa maoni yetu.


Mhe. Diwani wa Kata ya Muungano Bw Charles Juma akitoa nenola shukrani amemwakikishia Mhe. Mkuu wa wilaya kuwa maelekezo na maagizo yote aliyoyatoa wao kama kata wanakwenda kukaa na Serikali ya kijiji kuhakikisha yote yanasimamiwa na kutekelezwa kikamilifu.


Nao wananchi waliofika katikauzinduzi wa Kampeni hiyo ya Upandaji Miti wamemshukuru Mhe. Mkuu wa wilaya na kumwahidi kuwa miti yote iliyopandwa wataitunza na kuilinda kwa ajili ya kizazi cha leo na kesho.


Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.