• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

Posted on: April 16th, 2025


Zaidi ya shilingi milioni 431.2 zimetumika kwaajili ya kutekeleza mradi wa uchimbaji visima vitano kwenye vijiji vilivyokuwa na ukosefu mkubwa wa maji safi na salama kwenye Jimbo la Chato mkoani Geita.

Huo ni mpango mkakati wa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, ambayo imetoa fedha kwaajili ya kuchimba visima 900 nchi zima ili kunusuru maisha ya wananchi wa vijijini ambao walikuwa hawajafikiwa kabisa na huduma za maji ya bomba.

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(katikati) akizungumza na wananchi wa Kibumba.

Meneja wa Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) wilayani Chato,Avitus Exavery, amesema hayo mbele ya mkuu wa wilaya hiyo ambaye alikuwa katika ukaguzi wa miradi ya mahi vijijini na kusikiliza kero mbalimbali.

vijiji vilivyo nufaika na mpango huo katika Jimbo la Chato kuwa ni Ludeba,Nampalahala, Nyantimba,Malebe na Kibumba.

Amesema miradi hiyo inakusudia kuwanufaisha wananchi zaidi ya 33,745 waliopo katika maeneo ya vijijini kwenye Jimbo hilo na kwamba hadi kufikia Mei 30,2025 upatikanaji wa maji kwenye vijiji hivyo utakuwa aslimia 60.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kijiji cha Kibumba,Clement Guri,mbali na kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa ya kuondoa adha kwa wananchi wa vijijini amesema huduma hiyo ni muhimu sana kwa wakazi wa eneo lake kutokana na vyanzo vingi vya maji kuchafuliwa na shughuli za uchimbaji madini.

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(wa kwanza kulia) akikagua chanzo cha maji katika mradi wa Kibumba,wa mwisho Kushoto ni Meneja wa Ruwasa,Avitus Exavery.

“Mradi huu kwetu ni mkombozi mkubwa kwa maana maji yaliyokuwa yakitumiwa na wananchi awali kwaajili ya kunywa,kunawa,kupikia,kuoga na matumizi mengine yalikuwa yakichafuliwa na shughuli za uchenjuaji Madini” amesema Guri.

Akizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti jimboni humo,Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura, amewataka wananchi kutambua uwekezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya sita kwa manufaa mapana ya Umma.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.