• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MIRADI YA B.3.1 YAPENDEKEZWA KUKAGULIWA NA MWENGE WA UHURU

Posted on: July 28th, 2025


Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Chato  ikiambatana na timu ya Menejimenti ya halmashauri mnamo Julai 22, 2025 ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua njia na miraadi iliyopendekezwa kutembelewa na Mwenge wa Uhuru, yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 3.1 inayotekelezwa wilayani humo.

Ziara hiyo iliyoongozwa na Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Louis Peter Bura ilianza ukaguzi wake katika eneo la Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru yatakayofanyika shule ya msingi Nyakayondwa iliyopo kijiji cha Nyarututu kata ya Bwanga.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na ziara hiyo ni ujenzi wa zahati ya kijiji cha Nyarututu kata ya Bwanga (92,410,714.29) chanzo cha fedha ni TASAF, mradi wa usambazaji maji kijijini (RUWASA) uliopo kijiji na kata ya Minkoto (263,413,920.16) chanzo cha fedha ufadhili wa benki ya Dunia (P4R) zaidi ya wananchi 5724 wananufaika na mradi, mradi wa uzaliahaji wa vifaranga na ufugaji samaki-Rumasa (7.000,000/=) chanzo cha fedha mikopo ya vijana 10% mapato ya ndani ya  halmashauri, Boksi karavati barabara ya Mranda - Imwelu kata ya Buseresere (399,999,928.20) chanzo cha fedha ni ufadhili wa Benki ya Dunia mradi umekamilika na unatumika.

Pia ziara ilikagua ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa  shule ya msingi Nyabilezi kata ya Bukome (50,000,000/=) fedha za mapato ya ndani ujenzi wa boma unaendelea, ujenzi wa shule ya Sekondari mpya Kitela kata ya Chato (500,000,000/=) kutoka Serikali kuu, shule imekamilika na inatumika, mradi wa uzalishaji samaki uliopo ndani ya mradi wa ujenzi wa chuo cha uvuvi kinachojengwa kijiji cha Rubambangwe kata ya Muungano (1,540,677,372/=) fedha kutoka Serikali kuu ujenzi upo 75%, pamoja na ukamilishaji wa Bwalo la chakula sambamba na jiko ambalo  litafungwa mfumo wa nishati safi  ya kupikia Shule ya ufundi stadi Chato( Chato Technical School) (262,754,041/=) fedha kutoka Serikali kuu.

Timu hiyo iliendelea na ukaguzi kwa kutembelea chanzo cha maji na upandaji miti katika kijiji cha Minkoto shamba la miti Silayo, Shule za Sekondari Buseresere na Buzirayombo pamoja na Kukagua Klabu ya kupambana na kuzuia Rushwa na madawa ya Kulevya Shule ya Sekondari Mkungo kata ya Bukome.

Kwa upande wake mratibu wa Mwenge wa Uhuru wilayani Chato Ndg Halfan Mbonde alieleza namna maandalizi yalivyofikia hatua nzuri kwa kila kamati kutimiza majukumu yao na kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Wilaya ya Chato inatarajia kuupokea Mwenge wa uhuru mnamo tarehe 06 Septemba 2025 ukitokea wilayani Bukombe, ambapo utakagua miradi na mbalimbali na baadaye kukesha katika uwanja wa Maz-aina uliopo kata ya Chato. Kauli ikiwa ni “JITOKEZE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 KWA AMANI NA UTULIVU”

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.