• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

Posted on: April 26th, 2025


Mkuu wa wilaya ya Chato mkoani Geita, Louis Bura,amewataka wananchi kudumisha amani, mshikamano na umoja wa kitaifa hasa kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani nchini.

Aidha amesema Msingi wowote wa maendeleo lazima utokane na wananchi wenyewe na kwamba mahali popote ambapo pana umoja hutawaliwa na amani.

Akizungumza na wananchi wa wilaya ya Chato kwenye kata ya Nyamirembe katika maadhimisho ya kilele cha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Bura amesema ni muhimu jamii kutambua mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia muungano huo badala ya kukaa vijiweni na kukosoa mapungufu machache yanayojitokeza.

"Wakati nchi hizo zinaungana mwaka 1964 zilikuwa maskini sana, lakini kutokana na maono mema ya waasisi wetu Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Abeid Aman Karume,nchi zetu zilifanikiwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo na hadi sasa viongozi wanaendelea kusimamia maono hayo,"

"Ukiona vya elea ujue vimeundwa,wapo wazee wetu waliopigania uhuru wa nchi hizi mbili kwa jasho na damu na hatimaye kufanikiwa kuziunganisha,hivyo niwasihi sana ndugu zangu tuendelee kuulinda muungano wetu kwa maslahi mapana ya taifa letu" amesema Bura.

Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Geriad Mgoba, amesema pamoja na mambo mengine halmashauri yake imefanikiwa kupanda miti 3,500 katika kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili kulinda Mazingira.

Miti hiyo imetokana na ushirikiano mwema wa halmashauri ya wilaya hiyo pamoja na Wakala wa huduma za misitu (TFS) Chato ambao kwa pamoja wanakusudia kulinda,kudumisha na kuhifadhi uoto wa asili kwa manufaa ya watu, wanyama na viumbe hai wengine.

Mkakati huo unaungwa mkono na nukuu ya Mwanafalsafa Warren Buffet aliyesema "Anaekaa kivulini leo ni kwa sababu kuna aliyepanda mti muda mrefu uliopita,"

Hali Kadhalika, Chinese Proverb aliwahi kusema “Muda mzuri wa kupanda mti ni miaka 20 iliyopita, Lakini muda mwingine mzuri wa pili ni sasa.”

Hatua hiyo inaonyesha wazi kuwa jukumu la kuhifadhi misitu,kulinda vyanzo vya maji na Usafi wa Mazingira ni hazina kubwa kwa maisha

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.