• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MUUNGANO NI TUNU PEKEE TULIYOACHIWA NA WAASISI WETU TUULINDE NA KUUENZI - DC NKUMBA

Posted on: April 23rd, 2024

Katika kuadhimisha sherehe ya miaka 60 ya Muungano wa  Tanganyika na Zanzibar, wilaya ya Chato jana April  22, 2024 imeshiriki kufanya usafi katika  mazingira ya kituo cha afya Bwina zoezi lililoenda sambamba na kupanda miti maeneo hayo ikiwa ni ishara  ya kuuenzi Muungano huu.

Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Said Nkumba ambaye alisisitiza suala la kuendelea kuulinda na kuudumisha Muungano wetu ili tuendelee kuwa na amani na utulivu lakini pia kuilinda Tunu hii adhimu tuliyoachiwa na waasisi wetu huku akiitaja kauli mbiu ya Muungano 2024 kuwa ni " Tumeshikamana, tumeimarika kwa maendeleo ya Taifa letu"

Sambamba na hayo pia alitembelea na kukagua kituo hicho namna kinavyofanya kazi kwa kuzungumza na wagonjwa jinsi wanavyopata huduma nao walikiri kuhudumiwa vizuri huku wakiwapongeza wauguzi jinsi wanavyowajali, ndipo alimuhoji mganga mfawidhi juu ya madawa na vifaa tiba ambaye alikiri hakuna tatizo hilo kwasasa hivyo wanatoa huduma kwa wagonjwa bila kikwazo chochote.

Aidha Nkumba aliwawapongeza wananchi waliojitokeza katika kazi hiyo na watumishi wa halmashauri kwa namna wanavyoonesha ushirikiano katika shughuli za maendeleo na pongezi nyingi kwa wakala wa Misitu Tanzania (TFS)  kwa kuleta miti 300 ya matunda na kivuli iliyopandwa kituoni hapo na mingine itapandwa katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Chato, ambapo aliwataka wote waliopewa miti hiyo kuitunza vizuri.

Diwani wa kata ya Bwina Mhe. Reginald Gervas  Mbani ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kazi kubwa na nzuri inayoifanya ya kuboresha miundo mbinu kuanzia kwenye elimu, maji, barabaraba pamoja na Afya ukiachana na  kuimarisha miundo mbinu yake pia imemaliza tatizo la upungufu wa dawa na vifaa tiba kwa ujumla, wananchi wanapata huduma vizuri

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.