• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

NENDENI MKASIMAMIE TAALUMA KIKAMILIFU ILI KUINUA UFAULU - DC NKUMBA

Posted on: April 14th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Said Nkumba amewataka maafisa taaluma, Tume ya utumishi wa walimu (TSC) pamoja na wathibiti ubora wa shule wilaya, kusimamia kikamilifu masuala ya taaluma shuleni ili kuongeza kasi ya ufundishaji itakayoinua wastani wa ufaulu katika wilaya hiyo.

Nkumba alitoa maelekezo hayo katika kikao kazi cha elimu kilichofanyika April 09, 2024 katika ukumbi wa shule ya sekondari ya wasichana Jikomboe kilichojumuisha wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya, Mkurugenzi Mtendaji, wakuu wa idara na vitengo, maafisa elimu kata, wakuu wa shule, walimu wakuu pamoja na wadau wa elimu

" Tuweke mikakati mizuri na kuisimamia ili kuinua ufaulu katika wilaya yetu hususani kudhibiti utoro na nidhamu kwa wanafunzi, kuwapa  chakula wanafunzi wote bila kubagua, kuwapa motisha walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri, wakuu wa shule kusimamia nidhamu ya walimu walioko chini yao ikiwa ni pamoja na mahudhurio na mavazi yao kazini huku wakihakikisha walimu wanajindaa kabla ya kuingia darasani kufundisha. " Alisema Mhe Nkumba.

Pia alisisitiza mahusiano mazuri kazini ili kuleta ufanisi wa kazi hatimaye matokeo chanya ambapo aliwataka walimu wakuu na wakuu wa shule kuimarisha mahusiano yao na viongozi wa kata na vijiji ili kufanya kazi kama timu kuwafuatilia wanafunzi watoro na kidato cha kwanza wasioripoti shuleni, huku akipongeza uandikishwaji wanafunzi wa darasa la awali kuvuka lengo kwani maoteo yalikuwa ni 19,646 na walioandikishwa ni 24,306 kwa mwaka 2024 sawa na 124.8/%

Akitoa taarifa ya idara kwa niaba ya Afisa elimu shule za msingi Bi Rehema Mkalola ambaye ni Afisa elimu elimu ya watu wazima msingi alisema Chato ina jumla ya shule za awali na msingi 168 ambapo kati ya hizo za Serikali ni 154 na 14 ni za watu binafsi na mashirika  ya dini,  shule za Serikali zina jumla ya wanafunzi 159,121 kati yao ME 78,632 na KE 80,489 huku shule za binafsi na mashirika ya dini zikiwa na jumla ya wanafunzi 2,507 kati yao ME 1,273 na KE 1,234 ikiwa jumla ya walimu ni 1,967 kati yao ME 1,266 na KE 701.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.