• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

OLE WENU MNAOUZA NA KUNYWA POMBE NYAKATI ZA KAZI-NTARAMBE

Posted on: June 27th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Chato Shaaban Ntarambe ameendelea kuonya tabia ya baadhi ya wananchi wa Wilaya hiyo ya kuendekeza ulevi nyakati za  asubuhi na mchana badala ya kufanya kazi.

Mkuu wa Wilaya ametoa onyo hilo leo wakati alipofanya mkutano wa hadhara na wananchi wa tarafa ya Nyamirembe mkutano uliofanyika mjini Muganza.

“Mikutano hii nawahimimiza watu wafanye kazi… wapo watu wanafanya kazi kwa kubetuabetua na  kazi yao ni kunywa pombe tu, ieleweke mida ya kunywa pombe tena  ile halali ni kuanzia saa 9.30  alasiri hadi saa 1 jioni na si asubuhi au mida ya kazi, tena pombe ziuzwe kwenye maeneo maalumu tu sio kila nyumba na mkinywa msilewe” alisisitiza Mkuu wa Wilaya.

Mkuu wa Wilaya amewahimiza wananchi wa tarafa ya Nyamirembe kuendelea kuchangia ujenzi wa miuondombinu ya sekta za elimu na afya ili kufikia lengo ambalo serikali ya mkoa wa Geita umejiwekea la kuwa na zahanati katika kila kijiji pamoja na uwepo wa vyumba vya madarasa vya kutosha kwenye shule za msingi na sekondari.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Chato ametoa agizo kwa wazazi na walezi ambao hawajapeleka watoto wao kuandikishwa kuanza elimu ya msingi  kuhakikisha wanawapeleka mara tu shule zitakapofunguliwa mapema mwezi Julai. Amezitaka serikali za vijiji kuchukua hatua mara moja kwa wazazi au walezi watakao kaidi agizo hilo. Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kila mzazi au mlezi anao wajibu wa kuhakikisha watoto wote wanakwenda shule hata kama hawana sare za shule.

Mkuu wa Wilaya pia amewataka wananchi kuwaondoa viongozi wa serikali za vijiji ambao hawaitishi mikutano halali ya kisheria kwa vijiji husika  endapo hawataitisha mikutano mitatu mfulilizo kama sheria za mikutano zinavyoeleza.

Mkuu wa Wilaya yuko kwenye ziara ya kuongea na wananchi wa tarafa zote tano za Chato ili kuhimiza wananchi kufanya kazi, kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja, kutoa ufafanuzi mbalimbali wa masuala ya kiserikali pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.