• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

RC GEITA AVUTIWA NA HATI SAFI HALMASHAURI YA CHATO

Posted on: June 21st, 2023

Mhe. Mkuu wa Mkoani wa Geita amewapongeza watumishi na madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Chato kwa kufanikiwa kupata Hati Safi ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo.


Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela ambaye pamoja na mambo mengine ameonyesha kukerwa na baadhi ya maeneo yaliyoonyesha udhaifu katika utekelezaji wa baadhi ya miradi ya maendeleo.


Kadhalika amewaagiza watumishi wote wa Halmashauri hiyo kutimiza wajibu wao kwa lengo la kuhakikisha wilaya hiyo inafikia malengo yanayokusudiwa na Serikali.


Hayo ameyasema katika kikao maalumu cha Baraza la madiwani kilichoketi leo kwa lengo la kujadili hoja za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali nchini (CAG) kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2021/22.


Hata hivyo Mhe. Shigela ametumia fursa hiyo kuwataka madiwani wa halmashauri hiyo kutembelea na kufanya tathimini ya mapato yanayopatikana kwenye vyanzo vya mapato ya ndani vilivyo kwenye kata zao ili kuhakikisha fedha inayopatikana inaakisi uhalisia.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Prof. Godius Kyaharara amewataka Madiwani wa Halmashauri hiyo kuwachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya watumishi ambao wamekuwa wakisababisha hoja za ukaguzi wa CAG kila mwaka ikiwa ni pamoja na kusimamia maadili ya watumishi wa umma.


Awali Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo  Christian Manunga amesema kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo halmashauri yake imeendelea kufanya vizuri kwa kupata hati safi katika ukaguzi wa CAG na kwamba wataendelea kuimalisha mifumo yote ya kiutendaji ili jamii iweze kunufaika na miradi ya maendeleo.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndg. Mandia Kihiyo kaahidi kuufanyia kazi ushauri na maoni yote yaliyotolewa na wadau mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha halmashauri hiyo inapiga hatua kubwa za maendeleo

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.