• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

SERIKALI YAZIDI KUVIBORESHA VITUO VYA AFYA

Posted on: October 1st, 2018

Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia afya Dkt Zainab Chaula akikagua moja ya jengo la zahanati ya Katete kata ya Bwongera


Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia afya Dkt Zainab Chaula akiangalia miundombinu katika zahanati ya Katete kata ya Bwongera


Mzee Rashid Milambo (wa katikati)mkazi wa Mbuye kata ya Bwina ambaye ni mmoja ya wananchi wenye maeneo waliopisha ujenzi wa kituo cha afya cha kata ya Bwina akiwa na Naibu katibu Mkuu ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. zainabu Chaula 


Serikali kupitia wizara ya Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia wazee na watoto imeendelea kuboresha sekta ya afya Wilayani Chato kwa kuanza kukarabati zahanati na kuzipandisha hadhi kuwa vituo vya afya sambamba na kujenga vituo vipya viwili Wilayani hapa.

Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Dkt. Zainabu Chaula amefanya ziara na kuvikagua zahanati ambazo zinatakiwa kufanyiwa ukarabati pamoja na maeneo ambayo Halmashauri imependekezwa kujengwa vituo vya afya.

“Tuna changamoto ya miundombinu ya sekta ya afya, kwani iliyopo haitoshi na si ya kuridhisha na nyingine ni za zamani sana, kwa hiyo tunataka kupunguza changamoto kwa kuboresha vituo hivi hivi viliyopo” alisema Dkt. Chaula.

Amesema kutokana na Wilaya ya Chato kuwa na vituo vya afya vitatu tu vinavyofanya kazi ukilinganisha na idadi ya watu 419,000 waliopo kuna ulazima wa kuboresha zahanati zingine na kuzipandisha ili viwe vituo vya afya.

Dkt. Chaula amesema pia kutokana na changamoto ya raslimali watu ni vyema Halmashari zikajielekeza zaidi kuboresha zahanati na vituo vya afya vilivyopo badala ya kuanzisha maeneo mapya ya ujenzi.

Naibu katibu Mkuu amepongeza pia jitihada zinazofanywa na Halamashauri za ujenzi wa zahanati katika kila kijiji na vituo vya afya kila kata ambapo amesema wananchi waelimishwe na kuhamasika kushiriki kazi ambazo jamii inahusika katika ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya sekta ya afya.

Zahanati zitakazoboreshwa na kupandishwa hadhi ya kuwa vituo vya afya ni ya kata ya Ilemela, Katete kata ya Bwongera na vituo vya afya vitakavyojengwa ni pamoja na vya kata ya Buseresere na Bwina ambapo Naibu katibu Mkuu ametembelea maeneo yote hayo pamoja na wataalamu kutoka wizara ya Afya na Fedha.

Kukamilika kwa ukarabati wa vituo hiyo utasaidia wananchi wapatao laki moja wa kata hizo kufuata huduma za afya katika hospitali ya Wilaya ya Chato umbali wa kilometa 80 kutoka kata ya Busereser na 50 kutoka Katete kata ya Bwongera.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.