• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

TRA WAPENI ELIMU YA KODI WAFANYA BIASHARA KUWAJENGEA UTASHI NA UHIARI WA KULIPA"* - *DC NKUMBA

Posted on: May 16th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Said Nkumba, jana Mei 15, 2024 akiwa mgeni rasmi alifungua kikao cha Jumuiya ya wafanya biashara wa wilaya hiyo kilichoketi katika ukumbi wa Mshikamano SACOS uliopo Chato mjini ambapo aliwataka T.R.A kuendelea kutoa elimu ya  kodi na kufuatilia matumizi ya EFD mashine ili kumsaidia mfanya biashara kutokadiriwa malipo ya kodi na pia awe na utashi na hiari ya kulipa bila kufuatiliwa.

Kikao hicho kiliandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi  kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kuratibiwa na Afisa Biashara wilaya huku washiriki wake wakiwa ni wafanya biashara wote wakubwa na wadogo, wawezeshaji ni NSSF, GGML, BUCREEF GOLD MINE LTD, SIDO, Ofisi ya Afisa Madini Mkoa wa Geita (RMO), Bomba la mafuta, TRA pamoja na taasisi za fedha kama NMB, CRDB na Azania Benki.

"Nawapongeza kwa mahudhurio mazuri mmeitikia wito, kwani kikao hiki kina faida kubwa sana kwenu, lengo  ni kuwajengea uwezo wafanya biashara wetu pamoja na kuwakutanisha na fursa mbalimbali, Serikali inatambua umuhimu wa kundi lenu katika kukuza uchumi, kwakuliona hilo ndio maana tumekutana hapa. Nawaelekeza TRA  elimu ya tozo, kodi, na ushuru iwe endelevu ili nanyi wafanya biashara  kulipa kodi hizo iwe ni utashi na hiari yako kwa kuepuka usumbufu lakini pia ni uzalendo". Alisema Mhe. Nkumba

Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanya biashara wilaya ya Chato Ndg. Daud  Mbeshi aliwapongeza na kuwashukuru Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kuandaa  kongamano hilo lililowakutanisha wafanya biashara wote wa wilaya na wawezeshaji walio wajengea uwezo kiasi kwamba amekiri kuelewa vizuri  namna ya kuchangamkia fursa na kuboresha uendeshaji wa biashara zao.

 Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo alikifafanulia kikao hususani wageni kuwa wilaya hii ina jumla ya vijiji 115, kata 23, tarafa 5 na wakazi 584,963, fursa zilizopo ni miundo mbinu ya barabara mizuri, hali ya hewa nzuri, ziwa viktoria, hospitali ya kanda na ya wilaya, miradi mingi ya Serikali na ardhi yenye rutuba inayofaa kilimo  msimu huu tunatarajia kuvuna mpunga tani 40,000

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.