• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

UTEKELEZAJI WA MPANGO WA LISHE CHANZO CHA KUINUA TAALUMA - CHATO

Posted on: December 7th, 2024

Katibu Tawala wilaya ya Chato Mkoani Geita Ndg Thomas Dimme kwa niaba ya Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Louis Peter Bura ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati, ameongoza kikao cha kamati ya lishe wilaya cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa tathmini ya mkataba wa afua za lishe katika  kipindi cha robo ya kwanza  mwaka wa fedha 2024/2025.


Kikao hicho kimefanyika  jana Disemba 06, 2024 katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa wilaya ambapo wajumbe waliohudhuria ni kutoka idara na vitengo mbalimbali wakiwemo idara ya afya, Kilimo ufugaji na uvuvi, Ustawi wa jamii, Maendeleo ya jamii, elimu Sekondari, elimu Msingi pamoja na watendaji wa Kata.


Akiwasilisha taarifa hiyo, Afisa lishe wilaya ya Chato Ndg Izack Malongo amesema kuwa katika kipindi cha robo ya kwanza Julai - Septemba 2024/2025  shule 221zimetekeleza agizo la kutoa chakula shuleni huku wakizingatia suala la lishe bora kati ya shule 222 zilizopo ikiwa ni za Msingi na Sekondari.


Malongo amesema kuwa katika kipindi hicho wametembelea kata kumi na moja kwa kupita vijijini kukutana na uongozi wa maeneo hayo kufanya mikutano yenye kutoa elimu juu ya lishe bora pamoja na umuhimu wa kutoa chakula kwa wanafunzi wawapo shuleni huku akibainisha  changamoto ya wazazi/walezi kuwapeleka watoto wenye utapiamlo  kwenye tiba asili badala ya hospital ambapo pia elimu ilitolewa.


Naye Mganga Mfawidhi wa halmashauri hiyo Dkt. Aristides Raphael amesema timu ya wataalam wa afya na lishe wanaendelea kutoa elimu katika jamii kuanzia ngazi ya kata na vijiji kwenda kukutana na uongozi wa maeneo hayo pamoja na wananchi kuwapa elimu zaidi ya lishe bora ili kupambana na utapiamlo na udumavu lakini pia kuwajengea uwezo wa kutambua umuhimu wa lishe lengo ni kupata jamii yenye afya njema.


Mkurugenzi Mtendaji wa  halmashauri ya wilaya hiyo Ndg. Mandia Kihiyo amesema lishe imepewa kipaombele katika  wilaya,ili kuimarisha afya  ya kila mmoja huku akikazia umuhimu wa kuwapa chakula wanafunzi wawapo shuleni ikiwa ni nguzo ya kuinua taaluma lakini pia hukomesha utoro hatimaye kuongeza ufaulu,huku akishauri kamati kuhimiza jamii kula vyakula

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.