• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

VIONGOZI NA WANANCHI WAKISHIRIKIANA MIRADI ITAKAMILIKA

Posted on: July 23rd, 2018

 Diwani wa kata ya Kasenga mhe. Damian Zilaliye amesema iwapo viongozi kuanzia ngazi za vitongoji hadi Wilaya wakishirikiana vizuri na wananchi wao ujenzi wa miundombinu ya sekta ya afya itakamilika mapema sana.

 Mhe. Zilaliye amesema hayo wakati akipokea mifuko 20 kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Chato  aliyoahidi hivi karibuni kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya cha Kata ya Kasenga. 

 "Hawa wananchi wengi unaowaona hapa ni kwa sababu wameukubali huu mradi na wanaendelea kuchangia kila siku ili kituo hiki cha afya kikamilike mapema" alisema mhe. Diwani.

 
 Naye Katibu Tawala Wilaya ya Chato ndugu Elias Makory  aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Chato katika ziara ya kukagua na kukabidhi mifuko ya saruji iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya amesema ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Kasenga ni mapinduzi makubwa sana kwani utarahisisha upatikanaji huduma za tiba karibu na wananchi.

 Kwa upande wake diwani wa kata ya Ichwankima mhe. Denice Joseph amesema ziara za viongozi kwenye maeneo mbalimbali zinahamasisha sana wananchi kushiriki katika kazi za ujenzi na utoaji wa michango.

 Mganga Mkuu wa  Wilaya ya Chato Dkt. Athanas Ng'ambakubi amesema ushiriki wa wananchi katika ujenzi wa zahanati na vituo vya afya ni matokeo ya ushirikishwaji wa wananchi katika kujiletea maendeo ambapo amesema kama ushiriki huu wa wananchi utaendelea kwa kasi ujenzi wa Miundombinu ya sekta ya afya utakamilika mapema sana.

 Jumla ya mifuko 26 yenye thamani ya shilingi 520,000 imekabidhiwa na Mkuu wa Wilaya kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya vya kata ya Kasenga na Ichwankima.

 Wilaya ya Chato imeunda kamati ya uhamasihaji na ufuatiliaji wa ujenzi wa Miundombinu ya sekta za  afya na elimu yenye lengo la kuhamasisha jamii kushiriki katika kwenye kazi za mikono na michango  pamoja na usimamizi wa ubora wa Miundombinu hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.