• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

VIONGOZI WA DINI WAONGOZA MAMIA YA WANANCHI KUIOMBEA CHATO

Posted on: July 27th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chato Mh. Deusdedith J. Katwale amewasisitiza viongozi na waajiri wote kuipa kipaombele elimu ya dini hususani shuleni kuwepo na vipindi vya dini ikiwa ni mikakati ya kurejesha maadili Kwa watoto na jamii Kwa ujumla.

"Kuanzia leo Kwa maana ya kujitambulisha na kujipambanua kama Wilaya ya Chato, ikiwa ni mikakati ya kurejesha maadili elimu ya dini ipewe kipaombele na itakuwa kipindi Cha kwanza Kila siku ya jumatatu, Mkurugenzi upo hapa na Afisa elimu upo nendeni mkawaagize waratibu elimu kata kulisimamia Hilo." Amesema Katwale.

Mh. Katwale ameyasema hayo wakati akihutubia kwenye mkutano wa kufunga juma la maombi mnamo 27 Julai 2023 ikiwa maombi hayo yalianza 21 Julai 2023 ambapo aliwataka viongozi na watoa huduma Kwa jamii kutoa huduma nzuri na stahiki Kwa jamii wanayoihudimia Ili kudumisha amani, upendo na Furaha Kwa jamnii.

Hata hivyo Mh Katwale aliongeza kuwa amedhamiria kuibadilisha chato na kuwa ya kijani Kwa Kila kaya kupanda miti hususani miti ya matunda itakayowasaidia kiafya lakini pia kiuchumi jambo ambalo litaleta muonekano wa tofauti hata Kwa wageni watakao fika Chato.

Akizungumza Kwa niaba ya viongozi wa madhehebu ya kikristo katika Wilaya ya Chato Mchungaji wa kanisa la Anglikana Zacharia Samson amemshukuru Mh. Mkuu wa wilaya Mhandisi Katwale kuwa na maono ya mbali kupata wazo la kuwakutanisha viongozi wa dini ya kikristo na kiislam kufanya maombi ya pamoja ikiwa ni kuombea Wilaya iwe yenye amani na upendo.

Mchungaji Samsoni wongeza kuwa penye amani pia mafanikio yanapatikana, hivyo Nia njema ya mkuu wa Wilaya ya kuiweka Chato mikononi mwa Mungu ni dhamira ya kuhakikisha Wilaya inakuwa na mafanikio makubwa katika Kila sekta Hali ambayo itainua uchumi wa mwananchi Mmoja Mmoja hatimaye Wilaya na Taifa Kwa ujumla.

Akitoa neno Shehe mkuu wa wilaya ndugu Abdurahman Ismail amesiaitiza juu ya kuilinda amani kuwa si suala la viongozi wa dini pekee bali ni suala la Kila mwananchi kuhakikisha anailinda amani Kwa juhudi zote, endapo amani ikianzia ngazi ya familia italeta manufaa hata ngazi ya Wilaya na Taifa Kwa ujumla.

Shehe Ismail amewataka wananchi wa Chato kuendelea kuungakono juhudi za Mkuu wa wilaya Mh Katwale Ili kuinua uchumi wa kaya na Taifa, ameongeza kuwa inatupasa kumtanguliza Mungu mbele Kwa Kila jambo.

Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Chato ndugu Mandia Kihiyo amekiri kufurahishwa na wazo la mkuu wa wilaya kuwatumia viongozi wa dini na madhehebu yote kuiombea Wilaya, pia ameahidi kumpa ushirikiano wa kutosha na kusimamia utekelezaji wa yote aliyomuagiza hususani elimu ya dini shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.