• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

VIONGOZI WA SERIKALI WAPEWA MAFUNZO JUU YA KUBORESHA AFYA NA LISHE CHATO

Posted on: August 16th, 2023

Mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na wadau (USAID)yenye Nia ya kuboresha afya na lishe katika jamii yamefunguliwa na mkurugenzi mtendaji Ndg Mandia Kihiyo Agosti 16 2023 katika ukumbi wa halmashauri ya Chato, walengwa wakiwa ni  waheshimiwa madiwani, watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, maafisa Ugani, wenyeviti wa vijiji pamoja na wenyeviti wa vitongoji  Kwa maeneo ya kata 7 na vijiji 10 vilivyoteuliwa vigezo vikiwa ni kuwa mbali na  huduma ya afya.

Katika mafunzo hayo, Afisa lishe Wilaya Ndg Renatus Kimba amewafundisha viongozi  namna ya kupangilia Milo Kwa kutumia Vyakula vinavyopatikana katika mazingira yao kama vile nafaka, vyakuka vya mizizi na ndizi mbichi, Vyakula vya asili ya wanyama na jamii ya mikunde, mbogamboga, mafuta na matunda.

"Viongozi wenzangu elimu hii ya afya na lishe ikawe ni ajenda ya Kila kikao na mikutano katika vijiji vyenu na kata (WDC) ,

Nawasisitiza watendaji wa vijiji mkateue mratibu wa siku ya lishe  na afya kutoka kwenye kamati ya ustawi wa jamii ya Kijiji na muhakikishe sherehe ya siku ya lishe na Afya inafanyika mara nne Kwa mwaka  "Alisema Kimba"

Aidha, Mheshimiwa Salama Mgasa diwani wa kata ya Buziku, ameipongeza serikali kuwapatia elimu hiyo na kukiri kuwa itawasaidia kupunguza au kutokomeza kabisa udumavu, kwani jamii licha ya kuwa na Vyakula vyote vyenye virutubisho lakini wanakosa elimu ya kuvipangilia Ili vilete manufaa kiafya.

Hata hivyo Mheshimiwa Mgasa alikazia suala la vikao na  mikutano katika  maeneo yao Ili kuwafikishia wananchi elimu hii adhimu itakayokuwa ni tiba katika harakati za kutokomeza udumavu.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.