• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

Posted on: May 24th, 2025


Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) imefika wilayani Chato mkoani Geita kwa lengo la kujiridhisha iwapo vigezo vilivyowekwa na Tume hiyo katika majimbo yanayoomba kugawanywa vimezingatiwa ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji wa wananchi.

Aidha ziara hiyo siyo kigezo cha moja kwa moja kuwa Jimbo limegawanywa badala yake jamii inapaswa kutambua kuwa hatua hiyo ni matakwa ya kanuni za Tume huru ya taifa ya Uchaguzi zinazoelekeza kufika katika majimbo husika kukagua na kupokea maoni ya wadau.

Akizungumza na wadau mbalimbali katika kikao maalumu kilicholenga kukutana na wadau pamoja na kupokea maoni yao,Mjumbe wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) ambaye pia ni Jaji wa mahakama kuu, Asina Omari, amesema Tume hiyo inaendelea na mchakato wa kukagua vigezo mbalimbali katika majimbo yaliyoomba kugawanywa.

Kwa mujibu wa Jaji Asina,Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Ibara ya 75(4) na 74(6)(c) ikisomwa pamoja na kifungu cha 10(1)(d) cha Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi namba 1 ya mwaka 2024,Tume inajukumu la kuchunguza na kuigawa Jamhuri ya Muungano katika majimbo ya Uchaguzi.

"Aidha Tume inaweza kutekeleza jukumu ilo mara kwa mara au angalau kila baada ya miaka 10,"

"Ibara ya 75(3) na (4) imeainisha vigezo vya ugawaji wa majimbo ambayo ni idadi ya watu,upatikanaji wa mawasiliano,na hali ya kijiografia,vigezo vingine vinavyozingatiwa na Tume katika kugawa majimbo vimeainishwa katika jedwali la tatu la kanuni za Tume huru ya Uchaguzi za mwaka 2024" amesema Jaji Asina.

Kadhalika Jaji Asina, amesema vigezo vingine ni hali ya kiuchumi,ukubwa wa eneo la Jimbo husika,mipaka ya kiutawala, Jimbo moja kutokuwa ndani ya wilaya au halmashauri mbili, mpangilio wa maeneo ya makazi, Mazingira ya Muungano na uwezo wa ukumbi wa Bunge.

Baadhi ya wadau waliohudhuria kikao hicho,akiwemo Diwani wa Chato,Mange Ludomya na Diwani wa kata ya Minkoto,George Magezi, wameihakikishia INEC kuwa taarifa zote zilizoainishwa kwenye maombi ya kuligawanya Jimbo la Chato yalizingatia taratibu na kanuni zote ikiwa ni pamoja na vikao halali vya maamuzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.