• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WANUFAIKA WA TASAF WAJIKITA KWENYE UFUGAJI

Posted on: March 1st, 2018

Baadhi ya wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini  (TASAF III)  wamejikita katika miradi ya ufugaji kama njia mojawapo ya kujiongezea kipato cha kaya.

Wakiongea na timu ya wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya iliyowatembelea  ikiongozwa  na Mratibu wa TASAF bwana Alex  Mang’ara baadhi ya wanufaika hao wamesema wameamu  kuanzisha ufugaji wa mifugo mbalimbali  ili kuongeza kipato cha kaya.

Wanufaika hao kutoka katika kijiji cha Nyambiti  Wilayani hapa wamesema ufugaji ndio njia pekee itakayowanusuru na janga la umasikini.

“Nilipopata tu fedha za kwanza za mgao wa TASAF, nilitunza nikanunua Mbuzi wawili… hadi sasa nina mbuzi 19” alisema Bi. Lega Amos ambaye ni mmoja ya wanufaika wa mpango wa TASAF ambaye amesema matarajio yake ni kuuza Mbuzi hao ili ajenge nyumba bora na ya kisasa kufikia mwezi Juni 2018.

Naye Bi. Kabla Peter amesema kupitia ufugaji wa Mbuzi  na Ng’ombe  anaowafuga kutokana na  fedha za TASAF anao mpango wa kununua shamba kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo.

Mmoja wa wanufaika wa Mpango huo bwana ;azaro Kajoro amesema kupitia fedha za hizo kumemwezesha kujenga nyumba nzuri ambayo iko katika hatua za ukamilishaji. Bwana Kajoro ameupongeza Mpango wa TASAF III kwani amesema kwake yeye umekuwa mkombozi wa maisha yake.

Bw. Mang’ara amewashauri wanufaika hao kutumia vyema fedha wanazo pata hasa kwa kuanzisha miradi ili badae waweze kuboresha makazi yao na kipato cha kaya.

Halamshauri ya Wilaya ya Chato inazo kaya 7,706 ambazo zinanufaika na Mpango wa TASAF awamu ya tatu ambapo kijiji cha Nyambiti kina jumla ya wanufaika 136.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • WAZIRI ASHATU KIJAJI AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGI

    July 06, 2025
  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.