• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

UPANUZI WA SOKO LA KIMATAIFA LA KASENDA

Start Date: 2017-02-01
End Date: 2017-11-30

Soko la Samaki la Kasenda lipo katika kijiji cha Nyabugera Kata ya Mganza kilomita 37 kutoka Makao Makuu ya Wilaya , Soko hili ni la pili kwa ukubwa ukiacha soko la Kirumba lililopo jijini Mwanza, Soko lipo kando kando ya Ziwa victoria ambapo limetenganishwa na maji na kupakana na Hifadhi ya Taifa ya Rubondo wakati wote watalii wamekuwa wakipitia soko la samaki la kasenda kuelekea Hifadhini. Soko hili limekuwa likihudumia Ndani na Nje ya Nchi kama vile nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, DRC-Congo na nchi nyigine zinazotuzunguka.

UTAWALA

Soko la samaki la Kasenda lipo chini ya Halmashauri ya wilaya ya Chato na kusimamiwa na uongozi wa soko. Soko limekasimiwa kukusanya Tsh 140,000,000.00  kwa mwaka ambapo kufikia mwezi Disemba , 2018, makusanyo yalikuwa Tsh 31,160,180.00  sawa na asilimia 22.25 ya makisio ya mwaka.

Mhe: Balozi wa Japan nchini Tanzania,

Soko lina jumla ya wanachama 241, miongoni mwao, wanaume ni 164 na wanawake ni 77.

UJENZI NA UPANUZI WA SOKO LA SAMAKI LA KASENDA

Ujenzi wa soko hili unafadhiliwa  na Ubalozi wa Japan Tanzania ambapo shughuli zinazofanyika ni ujenzi wa ghala kubwa la kuhifadhia samaki na kukarabati soko la zamani ili iweze kuwahudumia wafanyabiashara wa samaki na mazao mbalimbali kwenye mwalo wetu huu wa Kasenda.

Mradi wa ujenzi na utanuzi wa soko umegharamu kiasi cha Tsh 378, 378, 080.00 ambapo Ubalozi wa Japan Umetoa kiasi cha Tsh 320,958,450.00 bila VAT kwa ajili ya Kujenga ghala kubwa la kuhifadhi samaki/Dagaa na Kurekebisha Soko  la zamani ambalo linatumika kuuzia samaki na bidhaa zingine kama mboga mboga na matunda. Halmashauri inalipa (VAT) ambao ni Tsh 57,419,630.00

Mkandarasi M/S DG GROUP OF COMPANIES LIMITED ya S. L. P 6269 MWANZA iliingia Mkataba No LGA/039/2016/2017/EJ/W/01 na HALMASHAURI YA WILAYA YA CHATO kwa ajili ya kazi ambapo mkataba ulianza rasmi tarehe 01/02/2017 na kumalizika tarehe 30/11/2017. Muda wa mkataba ulikuwa ni wa miezi 10.

Mpaka sasa kazi zote kuhusu Upanuzi na Ukarabati wa Soko la Samaki Kasenda zimeshakamilika.Kazi zilizofanyika kwa mujibu wa mkataba na makubaliano ni kama ifuatavyo;

  • Ujenzi wa Ghala Kubwa la kuhifadhia samaki (Warehouse) lenye uwezo wa kuhifadhi magunia ya samaki 5,000 kwa wakati mmoja.
  • Ukarabati wa soko la wafanya biashara ndogo ndogo lenye meza 60 za kuuzia mazao,samaki,mboga mboga,matunda pamoja na ukarabati wa vyumba kwa ajili bucha.
  • Kuweka mfumo wa umeme kwenye majengo yote,yaani ghala kubwa la kutunzia samaki pamoja na soko la wafanya biashara ndogo ndogo.

FAIDA TARAJIWA KUTOKANA NA UJENZI NA UTANUZI WA SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA LA KASENDA

  •  
  • Tunatarajia Mapato ya Halmashauri kuongezeka hadi kufikia zaidi yaTsh 200,000,000.00 kwa mwaka kutokana na soko kuvutia wafanyabiashara,
  • Watalii kuongezeka kupitia Kasenda na hivyo kuchangia pato la taifa.
  • Wananchi kupata huduma bora kwa kuzingatia sehemu ya kuhifadhia mali zao itakuwa imeboreshwa
  • Soko kuvutia wawekezaji/wafanyabiashara wengi wa samaki kutoka nje na ndani ya nchi

Matangazo

  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA CHATO WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MAENEO YA BIASHARA STENDI MPYA KAHUMO January 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • "NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA WALIME KILIMO CHENYE TIJA WAACHANE NA KILIMO CHA MAZOEA" DC CHATO

    March 21, 2023
  • STENDI YA CHATO INAFANYA KAZI ACHENI UPOTOSHAJI

    March 16, 2023
  • SHAMLA SHAMLA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HALMASHAURI YA CHATO ZAPAMBWA NA UTOAJI WA MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 107 KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 08, 2023
  • "NENDENI MKATUMIE PIKIPIKI HIZI KWA KAZI ZA SERIKALI NASI VINGINEVYO" DED CHATO

    March 02, 2023
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.