• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

BARAZA LA MADIWANI LATOA PONGEZI KWA MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZ\ANIA KWA KUTOA ZAIDI YA BILIONI 9 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO CHATO

Posted on: May 19th, 2023


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mhe Mwenyekiti wa Halmashauri  na Baraza la Madiwani katika ukumbi wa Halmashauri ametoa taarifa ya mapokezi ya fedha kiasi cha shilingi bilioni 9 kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo toka Serikalini ikiwa ni utayari wa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ni katika Mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani kujadili taarifa Robo ya Tatu kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Januari hadi Machi 

Aidha Mhe Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Christian Manunga akifungu mkutano huo nae ametoa kauli ya kumpongeza Mhe. Rais kwa namna ambavyo Serikali yake naendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hasa katika sekta za Afya, Elimu na Maji, kauli ambayo imeungwa kwa asilimia 100 wahe. Madiwani katika mkutano huo wa Baraza.


Mhe Mkuu wa willaya ya Chato Eng Deusdedith Katwale akiongea na wajumbe wa Mkutano huo,  wageni waalikwa na wananchi wote kwa ujumla waliofika katika mkutano huo kwa lengo la kufatilia na kusikiliza utendaji kazi wa Halmashauri kwa kipindi cha miezi 3 yaani kuanzia Januari hadi Machi 2023 amesisitiza kwa kusema,

 " japo leo hapa mnashangila lakini niombe na wala sitegemei kuona fedha hizi eti zinarudi kisa tumeshindwa kutumia kwa wakati"


Lakini pia Mhe Katwale amewataka Wahe. Madiwani hakikisheni miradi hii inayotekelezwa katika maeneo inatekelezwa kwa viwango na ubora wa hali ya juu.


Aidha Mhe. Katwale amewapongeza wataalamu kwa namna ambavyo sasa wanaonyesha kubadirika katika utendaji kazi jambo ambalo linaleta tija kwa ustawi wa Halmashauri yetu.


Kwa upande wake Mhe. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Ndg. Barnabas Nyerembe ameomba fedha hizo ambazo Serikali imetoa pamoja na kwenda kutekeleza miradi hiyo niombe pia ziende zikawanufaishe watu wetu ndani ya maeneo yetu, " ni aibu sana kuona mradi unatekelezwa mfano kata ya kachwamba lakini hata fundi ujenzi kwa njia ya force account anatoka Geita au Mwanza na hatoki katika maeneo ambayo mradi unatekelezwa, jambo hili halikubaliki na niseme wazi tabia hii iwe mwanzo na mwisho ndani ya wilaya yetu ya Chato"

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.