• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC BURA AKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA TSH. BILIONI MOJA - CHATO

Posted on: May 13th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Louis Peter Bura jana Mei 12, 2025, aliambatana na timu yake pamoja na wataalamu kutoka halmashauri alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa wilayani hapo itakayogharimu kiasi cha Tshs. 1,033,997,446/=.


Akizungumza na wananchi wakati wa ukaguzi wa miradi Mhe. Bura ameipongeza na kuishukuru sana Serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi kubwa inayofanya kuleta fedha za kujenga na kuboresha miundombinu kwa kila sekta, jukumu kubwa tulilo nalo ni kuilinda na kuitunza jambo ambalo litahamasisha kuletewa miradi mingine.


Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kanyindo (71,642,655/=) zahanati ya kijiji cha Nyarututu (92,410,714/= TASAF),  Bweni la wasichana shule ya Sekondari Butengorumasa (138,264,042/= TASAF), Shule mpya ya Sekondari Ihanga  (114,400,000/= ), Shule mpya ya Sekondari Mwendakulima (584,280,029/=), Bweni la wasichana shule ya Sekondari Mkungo (138,264,048/= TASAF) Pamoja na kukagua utoaji wa huduma kituo cha afya Malebe ambacho tayari kimepokea kiasi cha 33,000,000/= kwa ajili ya kichomea taka, shimo la majivu, shimo la kutupa kondo na mnara wa tenki la kuweka maji na kuyasambaza.


Aidha Mhe. Bura alipongeza kamati pamoja na wasimamizi  wa asilimia kubwa ya miradi aliyoikagua, kutokana na ubora wa  kiwango kizuri kinachotakiwa na Serikali, hali inayodhihirisha kuwa usimamizi wa fedha za umma ulikuwa ni mzuri, hatimaye umeleta matokeo chanya yanayotarajiwa na wananchi, huku akisisitiza jambo la uaminifu katika suala zima la usimamizi wa miradi kuwa endelevu na lipewe uzito ili kupata miradi bora inayoendana na thamani ya fedha.


'Ndugu zangu maendeleo haya tunayoyaona  ni matokeo ya kazi kubwa inayofanywa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo nimetembelea na kukagua miradi ya zaidi ya Tsh. Bilioni moja fedha ambazo zimeletwa kwa ajili yetu wana Chato,  kujenga na kuboresha miundombinu mbalimbali hususani elimu na afya, mama hana deni kabisa kwetu, bali sisi tuna deni kubwa sana la kuilinda na kuitunza miundombinu hiyo ili iwe chachu ya kutuletewa mingine. Alisema Mhe. Bura.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • MAKAMPUNI 12 KUNUNUA ZAO LA PAMBA CHATO

    May 15, 2025
  • DC BURA AKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA TSH. BILIONI MOJA - CHATO

    May 13, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.