• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KITUO CHA AFYA NYABILEZI KUHUDUMIA WANANCHI ZAIDI YA 15,000

Posted on: July 11th, 2022

Zaidi ya wananchi 15,000 wa kata ya Bukome wilayani Chato wameanza kunufaika na ujenzi wa kituo cha kata hiyo kilichojengwa kwa ufadhili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa gharama ya shilingi 1,052,000,000/=.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Mandia Kihiyo amesema kukamilika kwa kituo hicho kutasaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya Wilaya iliyopo mjini Chato.

“Kituo hiki kimepanuliwa, hapo awali ilikuwa ni zahanati ya kijiji cha Nyabilezi kwa sasa ni kituo cha Afya cha kata ya Bukome, tumeamua kujenga kituo hiki ili kuwasogezea wananchi wa kata hii huduma za Afya ambapo hapo awali walikuwa wanalazimika kwenda Chato kupata huduma za Afya” alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Diwani wa kata ya Bukome Mhe. Petro Kilasa amesema kukamilika kwa kituo hicho kumesaidia kuokoa maisha ya wakazi wa kata ya Bukome ambao hapo awali walikuwa wanafuata baadhi ya huduma katika hospitali ya Wilaya ya Chato kwa zaidi ya umbali wa kilometa 20 lakini hivi sasa wananchi hao wataweza kupata huduma hizo katika eneo lao.

Mhe. Kilasa Amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuamua kujenga kituo cha Afya katika kata hiyo kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kunusuru maisha ya wananchi wa kata ya Bukome ambao wamekuwa wakililia kituo hicho kwa muda mrefu.

Juma Bunzali (56) ambeye pia ni mwananchi wa kijiji cha Nyabilezi amesema kukamilika kwa kituo hicho cha Afya cha kata ya Bukome kutapunguza gharama za usafiri na usumbufu wa kutafuta matibabu hasa kwa wale waliozoea kufuata huduma katika hospitali ya wilaya ya Chato.

“Zamani tulikuwa tunakuja hapa baadhi ya vipimo tulilazimika kwenda hospitali ya Wilaya ya Chato lakini kwa sasa vipimo vyote vinapatikana hapahapa tena ndani ya muda mfupi tu” alesema Bwana Bunzali.

Kituo cha Afya cha kata ya Bukome kimejengwa kwa awamu tatu ambapo awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa jengo la wagonjwa wan je (OPD), Jengo la akina mama, jengop la upasuaji, Maabara, jengo la maiti, na nyumba moja ya watumishi wawili ambapo jula ya shilingi 730,000,000/= zilitumika.

 Awamu ya pili ilihusisha ujeniz wa uzio wa kituo hicho, njia za kutembelea, matundu 6 ya vyoo, jengo la kufulia nguo na nyumba moja ya watumishi watatu ambapo jumla ya shilingi 322,000,000/ zimetumika na kufanya kituo hicho kugharimu shilingi milioni 1,052,000,000/= kukamilika kwake

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.