• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA KULIMA MAZAO YANAYOENDANA NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA" MHE MANUNGA*

Posted on: November 16th, 2023

Halimashauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita kupitia kikao cha Baraza la Madiwani imemuagiza Afisa Kilimo Mifugo na Uvuvi katika halimashauri hiyo kuhamasisha kilimo kinachoendana na mabadiriko ya hali ya hewa kama njia ya kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Christian Manunga amesema wananchi hususani wakulima wa wilaya hiyo wamekua wakishindwa kulima mazao yanayoendana na hali ya hewa na kwamba ni jukumu la idara ya kilimo kuhakikisha inawajengea uwezo wakulima ili waweze kuzarisha kwa tija.

Manunga amesema hategemei kuona mkulima yeyote wa wilaya ya Chato akipata mavuno hafifi kwa sababu ya changamoto za mabadiriko ya hali ya hewa na badala yake maafisa ugani waendeshe mashamba darasa kwa wakulima ikiwa ni pamoja na kuwashauri juu ya aina ya mazao wanayotakiwa kuzarisha kulingana na jografia ya maeneo yao.

Nae afisa kilimo mifugo na uvuvi katika halimashauri ya wilaya ya Chato Jerad Ismail Mgoba amesema tayari amekwisha waagiza maafisa ugani wa vijiji na kata kuendesha mafunzo kwa wakulima kupitia mashamba darasa juu ya namna bora za kukabiliana na mabadiriko ya hali ya hewa kwa kulima mazao ya muda mfupi na kwamba zoezi la kuelimisha na kuhamasisha wakulima ni endelevu.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • WAZIRI ASHATU KIJAJI AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGI

    July 06, 2025
  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.