• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

STENDI YA CHATO INAFANYA KAZI ACHENI UPOTOSHAJI

Posted on: March 16th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato amekanusha vikali uvumi uliosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa standi kuu ya mabasi ya Chato "Kahumo bus terminal" imetelekezwa na kubaki magofu.

Uvumi huo ambao umezua taharuki kwa baadhi ya wananchi,umelenga kudhoofisha jitihada kubwa na nzuri za serikali kusogeza huduma kwa wananchi wa wilaya ya Chato ikiwemo mikoa jirani ya Kagera,Kigoma,Shinyanga,Mwanza na Musoma.


Akizungumza na mwandishi wetu,Mkuu wa wilaya ya Chato,Deusdedith Katwale,amewataka wananchi kupuuza uvumi huo kwa kuwa unalenga kupotosha jamii na kwamba serikali ya awamu ya sita inaendelea na ujenzi wa stendi hiyo kwa maslahi mapana ya jamii.


"Kuna baadhi ya watu wasioitakia mema wilaya ya Chato...wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kueneza propaganda za uongo mitandaoni...baadhi yao wanasema stendi ya imebaki magofu wengine wanasema uwanja wa ndege haufanyi kazi...mimi niwahakikishie kuwa miradi yote ya Chato inaendelea vyema na ina manufaa makubwa sana kwa jamii"


Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Chato, Mandia Kihiyo, amesema ujenzi wa stendi hiyo umefikia aslimia 95 na kwamba unatarajiwa kukamilika juni 2023.


Hata hivyo anasema zaidi ya mabasi makubwa 39, Costa 19 na Hiace 78 zinatumia stendi hiyo kwa kila siku huku baadhi ya mabasi kutoka nchi jirani ya Uganda yakisafirisha abiria kuelekea jijini Mwanza.


Kadhalika vijana machinga,waendesha boda boda na bajaji pia wanajipatia riziki kwa kusafirisha abiria wanaoshuka na kwenda chato mjini.


"Niwaombe wananchi wasikubali kupotoshwa...stendi yetu imegawanyika pande mbili stendi ndogo inatumika na kubwa tunatarajia kuanza hivi karibuni..hivyo wananchi wajiandae kuomba vibanda vya kufanyia biashara mbalimbali...pia tunazo kumbi za kisasa ambazo zitatumika mara tu ujenzi utakapo kamilika" amesema Kihiyo.


Ujenzi wa stendi ya kisasa ya Kahumo umeanza kutekelezwa mwaka 2020 kwa mpango wa miradi ya kimkakati ambapo kukamilika kwake kunatarajiwa kuinufaisha jamii kwa kurahisisha upatikanaji wa usafiri,kuongeza ajira na kuinua uchumi wa kaya na taifa kwa ujumla.


                       Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA CHATO WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MAENEO YA BIASHARA STENDI MPYA KAHUMO January 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • "NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA WALIME KILIMO CHENYE TIJA WAACHANE NA KILIMO CHA MAZOEA" DC CHATO

    March 21, 2023
  • STENDI YA CHATO INAFANYA KAZI ACHENI UPOTOSHAJI

    March 16, 2023
  • SHAMLA SHAMLA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HALMASHAURI YA CHATO ZAPAMBWA NA UTOAJI WA MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 107 KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 08, 2023
  • "NENDENI MKATUMIE PIKIPIKI HIZI KWA KAZI ZA SERIKALI NASI VINGINEVYO" DED CHATO

    March 02, 2023
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.