• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

TANTRADE YAVUTIWA NA WAZALISHAJI WA BIDHAA ZA KILIMO KUTOKA CHATO

Posted on: September 2nd, 2018

Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE Edwin Rutageruka akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wakulima na wasindikaji wa bidhaa za kilimo Wilayani Chato

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri Semeon akifungua mafunzo ya siku nne ya wakulima na wasindikaji wa bidhaa za kiloimo kutoka Chato.

Mgeni Rasmi kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wakulima na wasindikaji wa Bidhaa za kilimo Mku wa Wilaya ya Chato akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasindikaji wa bidhaa za kilimo

Mgeni Rasmi kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wakulima na wasindikaji wa Bidhaa za kilimo Mku wa Wilaya ya Chato akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wakulima wa kata ya Muungano

Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakiwa wakimsilikiliza mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo


Kutokana na Halmashauri ya Wilaya ya Chato kuwa na wazalishaji wengi wa bidhaa za kilimo husasan zao la Alizeti, Mamlaka ya Taifa Biashara Tanzania (TANTRADE) imevutiwa na wazalishaji hao kutoka Chato na kuahidi kutoa ushirikiano ili kuboresha mazingira ya wazalishaji hao.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Taifa ya Biashara Edwin Rutageruka amesema kutokana na Wilaya ya Chato kuwa na wazalishaji wengi wa mazao ya biashara, chakula pamoja na wasindikaji wa bidhaa za kilimo wameona washirikiane na uongozi wa Halmshauri kuandaa mafunzo maalumu kwa wazalishaji na wasindikaji wa bidhaa za kilimo wilayani Chato

“Baada ya kuona jitihada hizi tukaomba tuweze kufanya mafunzo maalumu kwa wazalishaji hawa… tumeona tuanze elimu ya mbegu, vifungashio, vipimo pamoja na ubora wa bidhaa mnazozalisha” aliongeza Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE.

Amesema kutokana na Mafuta ya Alzeti kuwa bora zaidi wameamua kuwaalika wazalishaji wa Mafuta ya Alizeti kutoka Chato washiriki kwenye maonesho ya bidhaa za viwanda vya Tanzania yatakayofanyika kwenye viwanja vya maonesho ya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 5 hadi 9 Septemba 2018.

Mkurugenzi Mkuu pia ameahidi kutoa banda kwa Wilaya ya Chato kwenye maonesho ya kibiashara ya Kimataifa Sabasabakwa mwaka 2019 ili wazalishaji wa mafuta ya Alzeti kutoka Chato waweze kuonesha bidhaa hiyo.

Mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri Semeon ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Geita amesema mafunzo hayo ni lazima yalenge kuongeza tija kwenye upatikanaji wa mbegu bora, uzingatiaji wa kanuni bora za kilimo cha zao la Alzeti pamoja na kusindika Alizeti kwa viwango vinavyoubalika ndiyo maana wadau wote walialikwa ili kutoa mafunzo kwa wakulima na wazalishaji hao.

Mkuu wa Wilaya amesema ili kuzalisha bidhaa bora zaidi Wilaya iko tayari kutoa eneo kwa ajili ya kuanza uzalishaji wa mbegu bora ya zao la Alizeti, hivyo amewaomba wakala wa mbegu wa Taifa kusaidia jambo hilo ambapo amesema kutasaidia kupunguza bei ya mbegu hizo na hatimaye kuwa na wakulima wengi wa zao la Alzeti.

Mafunzo haya ya siku nne yamendaliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwa kushirikiana na Mamlaka ya Taifa ya Biashara ambapo pia wameshirikishwa wadau wengine ambao ni Wakala wa Mbegu wa Taifa, Wakala wa Vipimo pamoja, Mamlaka ya Chakula na dawa na SIDO yanafanyika kwenye ukumbi wa Mshikamano SACCOS uliopo Chato.


Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.