• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WALIMU WAJITATHIMINI KWA MATOKEO YA WANAFUNZI

Posted on: December 13th, 2021



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato ndugu Mandia Kihiyo amewataka watumishi walio katika sekta ya elimu wilayani hapa kujitathimini kwa matokeo mazuri ya ufaulu wa wanafunzi kwa ngazi ya Wilaya hadi taifa.


Mkurugenzi Mtendaji ameyasema hayo leo jumatatu tarehe 13.12.2021 wakati akifungua mafunzo kwa maafisa elimu kata na walimu wakuu yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu kupitia idara ya uthibiti ubora wa shule Wilaya ya Chato yaliyofanyika sekondari ya Chato.


Mkurugenzi Mtendaji amesema pamoja na Wilaya ya Chato kufikia malengo ya ufaulu, bado kuna jitihada zinatakiwa zifanyike ili kuendelea kufanya vizuri zaidi katika matokeo ya darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili, kidato cha nne na cha sita.

"kupitia mazuri ya kikao kikao hiki na kwa matokeo tutakayopata yatusaidie kujua tumefanya nini, tathmini hiyo itusaidie kujipima na tuweze kupanga mipango mizuri kwa mwaka ujao ambapo lengo letu ni kufikia ufaulu wa asilimia 90 kama tulivyokubaliana chini ya timu hii" amesisitiza Mkurugenzi Mtendaji.


Kwa upande wake Mkuu wa idara  elimu msingi Wilaya ya Chato ndugu Omari Mkombole amesema Wilaya ya chato inaendelea kufanya vizuri kwenye ufaulu wa mitihani ya darasa na nne na la saba hivyo ameahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili walimu ikiwemo malipo ya nauli na likizo ili ziwafikie kwa wakati huko walipo kutokana na timu aliyounda kushughulikia madai hayo.


Aidha  ndugu Mkombole amepiga marufuku tabia ya walimu kutoka kwenye vituo vya kazi kwa ajili ya ufuatiliaji wa barua kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na badala yake ameagiza barua zote ziratibiwe na ofisi ya afisa elimu kata na kisha kufikishwa kwa pamoja ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,

"mimi kwenye idara nimesema kwamba barua ya mwalimu itapitia kwa malimu mkuu, itaenda kwa afisa elimu kata naye atafanya jitihada za kuja yeye mwenyewe au atatuma mwalimu mmoja alete pamoja na sisi tutashughulikia haraka na si kama inavyofanyika sasa hivi ambapo kila mwalimu anafuatilia yeye mwenye" alisema ndugu Mkombole.


Mthibiti mkuu wa ubora wa shule Wilaya ndugu Justina Grassiano amesema baada ya mafunzo hayo walimu wakuu wote katika Wilaya ya Chato watakuwa wameimarishwa katika suala zima la uthibiti ubora wa ndani, ambapo wanatarajia mafunzo hayo yatasaidia kupata tathimini ya ufundishaji na ujifunzaji na hivyo Wilaya itakuwa katika nafasi ya kufanya mabadiliko chanya kwa wakati kulingana na matokeo ya tathimini ya ndani.


Mafunzo hayo yameshirikisha maafisa elimu kata 20 na walimu wakuu 99.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.