• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WASIMAMIZI WASAIDIZI 46 NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO

Posted on: August 4th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Chato Kusini na Chato Kaskazini Ndg. Abel Johnson Manguya leo Agosti 4, 2025 amezindua rasmi mafunzo maalumu kwa wasimamizi wasaidizi 46 wa uchaguzi ngazi ya kata, kutoka kata 23 ambayo yatafanyika kwa siku tatu kuanzia tar 04 - 06, 2025 katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya ufundi Chato.

Akifungua mafunzo hayo Ndg  Manguya amewapongeza wasimamizi hao kwa kuaminiwa na kuteuliwa huku akiwataka kuzingatia mafunzo wanayopewa ili wakatekeleze majukumu yao kikamilifu kwa uadilifu, kufuata sheria, kanuni, na taratibu za Uchaguzi Mkuu ili  kufanikisha jambo hili nyeti lenye manufaa makubwa kwa Taifa.

"Kazi ya usimamizi wa uchaguzi ni jukumu nyeti linalohitaji umakini na uaminifu mkubwa, pamoja na mafunzo haya pia msome na kuelewa vizuri katiba, sheria, kanuni taratibu, miongozo na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na Tume huru ya Taifa ya uchaguzi ikiwa ni pamoja na kushirikisha vyama vyote vya Siasa vyenye usajili kamili kwa mujibu wa Sheria, epuka kuwa chanzo cha malalamiko katika suala zima la utekelezaji wa majukumu yako ili zoezi hili muhimu likamilike kwa ufanisi. Alisema Manguya"

Mafunzo hayo yameanza mara baada ya wasimamizi hao ngazi ya kata kuapishwa rasmi na Mhe. Tryphone A. Bashaya, Hakimu Mkazi Mfawidhi, kwa lengo la kuimarisha uaminifu katika zoezi zima la uchaguzi lakini pia kuonesha utii wa sheria huku wakikiri kufanya kazi hiyo nyeti kwa weledi na uaminifu mkubwa.

Naye Mwenyekiti wa Mafunzo Ndg Mussa Nyanda ambaye ni miongoni mwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata amesema mafunzo hayo yatawapa uelewa wa pamoja na kuwajengea uwezo mzuri wa kutekeleza majukumu kwa kufuata miongozo na maelekezo waliyopewa hatimaye kukamilisha zoezi la uchaguzi Mkuu kwa amani.

Mafunzo hayo yanatarajiwa kuongeza ufanisi wa shughuli nzima ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge, na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, huku kauli Mbiu ikisema:

 "Kura yako Haki yako Jitokeze kupiga Kura"

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.