Posted on: September 30th, 2025
Mkuu wa Wilaya Mh. Louis Bura leo tarehe 30.9.2025 amefungua Zahanati ya Nyarututu iliyopo Kata ya Bwanga. Zahanati hii imeanza rasmi kazi leo ,Ujenzi ukiwa umegharimu jumla ya Tsh 92,410,714.29...
Posted on: September 25th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe.Louis Bura,ametembelea banda la Chato kwenye Maonesho ya 8 ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika Mkoani Geita kwenye Viwanja vya Dr.Samia Suluhu Hassan,...
Posted on: September 22nd, 2025
Kamishna wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Magdalena Kamugisha Rwebangira akiambatana na Afisa Utumishi wa Tume hiyo Bi. Amina Lalika, Mnamo Septemba 20, 2025 walifika Ofisi ya Msimamizi wa Uchagu...