Posted on: October 15th, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa Hospitali Rufaa ya Kanda – Chato itajengwa kama ilivyokusudiwa tangu hapo awali.
Rais Samia ameyasema hayo leo wakati ...
Posted on: October 5th, 2022
Mbunge wa Geita mjini mhe. Constantine Kanyasu Leo ametembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye Maonesho ya 5 ya Kitaifa ya Teknolojia ya Dhahabu yanayoendelea mjini Geita. Mhe. Kanyasu ...
Posted on: September 29th, 2022
Wananchi wa kata ya Bwongera wilayani hapa wamechangishana fedha kiasi cha shilingi milioni 6 kwa lengo la kutengeneza barabara inayounganisha kata hiyo na kata jirani ya Nyamirembe.
Mweny...