Posted on: March 5th, 2019
Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Chato leo imefanya ziara yenye lengo la kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri kwa mwaka huu.
Mjumbe ...
Posted on: February 18th, 2019
Mawaziri 8 wakiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wamefika Wilayani Chato kwa lengo la kutatua migogoro ya rdhi katika hifadhi za misitu.
Akitoa taarifa y...
Posted on: February 14th, 2019
Jumla ya vikundi 21 vya vijana, Wanawake na walemavu kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Chato vimenufaika na mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia fedha za mapato ya ndani. ...