Posted on: April 2nd, 2018
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameitaja mikoa ya Tabora, Geita, Mtwara na Shinyanga kuwa inaongoza kwa utoro wa wanafunzi wa sekondari.
Waziri mkuu pia ameitaja...
Posted on: March 19th, 2018
Umoja wa kikundi cha ‘Whatsap’ cha Chato Family kimechangia mifuko ya saruji 50 na nondo 12 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa wa sekondari ya Chato.
Akikabidhi vifaa hivyo mmoja ya w...
Posted on: March 9th, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefungua tawi jipya la Benki ya CRBD lililopo wilayani hapa.
Mheshimiwa Rais Magufuli ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuende...